Lyrics

Mmmh mashallah Mama mkwe shikamoo, huyu mtoto umetotoa ni balaa Tumbo si la kwashakoo, shepu linatukomoa nyie Mwenzenu huku kumbe ninapendwa, afu hamsemi Nyie, mapenzi yanapamba moto, amkeni amkeni Nahisi udongo wako Mungu alichanganya viwili Misheni na maziwa kwa mbali, pilipili Udaku damu wa Makka uzidi kunawiri, sura yako Kichwani hakusita kumiminia akili Moyo wa upendo na wenye kusubiri Shepu kwa hasira kajaza mara mbili, zawadi yako Aah kupendwa raha mkipendana, hakuna karaha Aaah, napewa raha karibu jeraha Aah Habibi, habibi Habibi, habibi Habibi, habibi I love you, I want you Habibi, habibi Habibi, habibi Habibi, habibi I love you, I want you Aahh mmmh Mahaba, yananimwagikia Nimekabwa, hataki niachia Na, kwake nadekezwa nadeka Kina fulani wanakereketwa Namuomba Muumba akulinde malikia Naomba nisikukose kwa dunia Wakikugusa ni mapanga Tarime Ya tisa ya mie mama Dorime Wasokupenda waende wakalime Aah kupendwa raha mkipendana, hakuna karaha Aaah, napewa raha karibu jeraha Aah Habibi, habibi Habibi, habibi Habibi, habibi I love you, I want you Habibi, habibi Habibi, habibi Habibi, habibi I love you, I want you
Writer(s): Raymond Shaban Mwakyusa Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out