Lyrics
Najua nishachelewa
Kama kupenda umeshawahiwa
Nahisi kama ngekewa
Hadithi nzuri nasimuliwa
Kweli manani kaumba dunia
Kwa uwezo wa pekee
Nakupa maksi asilimia mia
Bado wifey wewee
Kwani
Lini
Honey utakujaniamini
Ya kwamba kidole kimoja
Hakiwezi vunja chawa asilani
Pindi ukiniliami
Utanipa nguvu kubwa maishani
Kwani
Tonya ni tayari kuwa hata pa spea tairi
Tafadhali lati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy me nitayari
Kuwa hata spea tairi
Busala busala iseeee
Hata maua hunyauka
Tafadhali lati unitunze
Ipo siku ntanepa
Busala busala isee
Hata maua hunyauka
Tafadhali lati unitunze
Ipo siku ntanepa
Kila ndege hutua kwenye mti aupendaoo
Hata kama una miba na majani kibaoo
Nlichotaka ndugu tafadhali nikubali mwenziooo
Hata kama una mchumba sitaweza weka vikwazoo
Yayayaaaa
Hata mimi nakupenda kwenye hii sayari
Yayayaaa
Na tabia za watu lati huwezi tabirii
Unaweza pendwa na ulie naeee
Nikaziba pengo juu yake yeye
Lati niaminiii
Tafadhalinlati niamini
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy me nitayari
Kuwa hata spea tairi
Busala busala isee
Hata maua hunyaukaaa
Tafashali lati unitunzee
Ipo siku ntakefaaa
Busala busala iseee
Hata maua hunyauka
Tafadhali laiti unitunzee
Ipo siku ntakefaaa
Kila kukicha me naona jiii
Hata mwenzangu huelewekiii
Na jibu langu hunipiii
Nitafanya nini sasa wangu latiiiii
Tafadhali lati niaminii
Nenda kwanza kafikiri
Tonya boy me nitayarii
Kuwa hata spea tairii
Busala busala isee
Hata maua hunyaukaa
Tafadhali lati unitunze
Ipo siku ntakefaaa
Busala busala iseee
Hata maua hunyauka
Tafadhali laiti unitunzeee
Ipo siku ntakefaaa
Writer(s): Seif Shabani
Lyrics powered by www.musixmatch.com