Music Video

Music Video

Credits

PERFORMING ARTISTS
Jua Cali
Jua Cali
Performer
SANA
SANA
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Paul Nunda
Paul Nunda
Composer

Lyrics

[Intro]
Yeah, ahah
Yeah, ahah
Siku mingi joh
Kwaheri
Kwaheri
[Verse 1]
Kwani nimewekewa madawa, siwezi kukuacha
Kila mahali unaenda mi nakufuata
Siogopi kukuambia, mi nakupenda
Watu wa wivu nao zao ni kusemasema
[Verse 2]
Huyo manzi alinipigia simu mi hata simjui
Mi nimekuwa studio, ati tulikuwa naye wapi juzi
Hizo ni uwongo na unajua
Mlango yangu iko wazi, we ukitaka kurudi nimeifungwa
[Verse 3]
Unasema hapana, hapana
Huku ukilia mi navumilia
Mi nakazana, nakazana
After hii yote, siamini bado unawezaniambia
[Chorus]
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
[Verse 4]
Ninashughulika kila kitu yangu irudi fiti
Vile ulipotea tu, watu mtaani wakafikiria nimechizi
Silali, kusema ukweli sikuli
Kejani bana hata siku hizi hata situlii
Nipige makofi labda naota
Ama nikuache, pia naskia ni kama nimechoka
[Verse 5]
Kujitetea pali niko au pali siko
Nasi tumetupa, miaka sita hivyo
Unasema hapana, hapana
Huku ukilia mi navumilia
Mi nakazana, nakazana
After hii yote, siamini bado unawezaniambia
[Chorus]
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
[Verse 6]
Hasira ni ya nini, bana tulia
Biashara yetu bado mi nimeishikilia
Na nguvu yangu yote, naweza
Pesa zako kuna mali poa nimeiweka
[Verse 7]
Unaweza chuna kadhaa ukitaka
Zile zitabaki, nunua nazo shamba
Lazima tufikirie maisha yetu ya mbele
Si kila siku kelele kelele
[Verse 8]
Tukiwa na wewe, mambo yako yenda kombo
Japo nisongeapo, matatizo yako yakoma
[Chorus]
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
[Chorus]
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
[Bridge]
Tukiwa na wewe, mambo yako yenda kombo
Japo nisongeapo, matatizo yako yakoma
[Chorus]
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
Nakuaga mi kwaheri, nami ninakutakia la heri
Kukupenda mi siwezi, jamani, mpenzi kwaheri
Written by: Paul Nunda
instagramSharePathic_arrow_out

Loading...