Lyrics

Pasteur emmanuel Mhh chausiku ehh chausiku Chausiku ehh chausiku Kumbe kuishi zambini ni salama ndogo Na tena kujikosesha amani Lakini kumupokea bwana yesu Ni jibu na dawa kwa jambo lolote Leo nakula yesu Navala yesu Heshima mu yesu Na baraka zangu nazo zinaongezeka Ehh eihhh ehh Mmhh dunda Dunda na yesu Dundaehh Dunda mu yesu Dundaeeh Dunda na yesu Dunda Dunda mu yesu Aahh dunda Ohhh dunda dunda Romains Siwezi kuionea injili haya Ni uwezo wa mungu Chabusiku anakatala kuokoka Kusema banamuke bana musumbua Kila mwaka banamuke ba tatu Na mimi nilitaka ni juwe Makosa ya ile kubatili Ili nipate ngisi ya kumushauri Makosa ya ba bibi ya chabusiku Wa kwanza hajuwe kupiga Wa kwanza hajuwe kupiga Wa pili hajuwe kuvaa Kosa la wa pili hajuwe kuvaa Wa tatu ni wa buchafu Wa tatu ni wa buchafu Aseme tena hatandikake Ehh hatandikake Aseme tena hatandikake Ehh hatandikake Chabusiku ehh chabusiku Banamuke bengi ni problems mingi Hakuna mwanamuke hajuwi kupiga Kupiga inafatana na ration Mapishi inafatana na ration Ukimupa mingi atapiga roti Nayo sosi ni rojo rojo Sosi eh ni rojo rojo Chabusiku alisema bibi wa pili Aseme nae ajuwe kuvala eh Ni bongo Mwambie chabusiku Ni bongo Hakuna mwana muke ajuwe kuvala Lakini mavazi zinapishana Na mashono nayo inapishana Na zaidi ya yote umupe upendo Inavuta uzaifu wake wote Tembea nae sukule nae Mubembeleze Na ile yote inashinda super Ile inashinda super Jibu ya mwanamuke wa tatu Chabusiku alisema bibi wa tatu Aseme ni wabuchafu eehh Ni bongo Mwambie chabusiku Ni bongo Chabusiku alisema bibi wa tatu Aseme ni wa buchafu Na tena aseme ajuwake kutandika Hakuna mwanamuke buchafu Lakini ni fasi kwanza ulimutia Ulimuweka mu bilima Chabusiku usimuuwie bure Umutoshe kwanza ku bilima Umuamishie kwanza ngambo ya mu ville Kila kitu nakyo kitaitika Unasema hajuwe kutandika Chabusiku acha ni kuambie Ulimupa kwanza kitanda Kitanda kyako kiko na migulu tatu Akiikala mubaya imageuka kilo ya kalamu Mufanyishie kitanda Kisha umuuzie godoro Banaandika lala salama Usingisi mnono kwa watoto wako Akiitia ku kitandaahh Kazi ya kutandika anasaabu Chabusiku wakati unatoka ku kazi Kazi yako ni kujitupa Jitupe Ni lala salama Geuka Ni lala salama Ikala Ni lala salama Aahh salama Oohh salama Na mukutembea kuna mambo Mukutembea kuna mambo Nili kuta batoto ba ine biko nacheza Aseme muchezo ya zole ni zole Mumoja alikuwa mbele Na ba tatu nao banaikala nyuma yake Ka mbele kiko kana jitupa Ba nyuma njo bana kakamata Wakati niliangalia nikauliza mutoto muniambie maana ya nzole Maana yake nini Mutoto akaniambia Rafiki maana benye biko nyuma yangu Biko nguvu sana kunishinda Aseme atanikijitupa Najua habawezi kuniacha Biko nyuma nimpaka bani kamate Nika mwambia bwana yesu Nipatie na mie ufunuo Nitambue batoto banacheza nini Nikauliza butamuya kwanza ya muchezo Bakasema butamu ni kufunga macho Nikakumbika ngisi nilifunga macho Kuamini masiya ni kufunga macho Kuamini bwana yesu ni kufunga macho Kuacha bwizi ni kufunga macho Kuacha bulevi ni kufunga macho Kuacha ukahaba ni kufunga macho Wakati niliamini Batu balisema mu muji Kama mimi siwezi kumaliza mwakaehh Leo napanda na myaka Kumbe kuko benye biko nyuma yangu Ba tatu bananichunga hahhh Kuna mungu baba yesu kristo na roho takatifu nyuma yangu Mi najitupa mu imani ehh Ba bwizi nilienda Wala hakuna wakati mutanipata Nikilomba mavazi yesu wangu ananipa Nakula yesu Navala yesu Heshima yangu tu mu yesu wangu Ahh ni zole Eh ni zole Ni zole Ehh ni zole Yesu ni zole Eh ni zole Nibebe kwako Ehh ni zole Ahhh ni zole Ahhh yesu ni zole Ahh ni zole Ahh yesu ni zole Mmhhh dunda Dunda na yesu Dunda ehh Dunda mu yesu Dunda ehh Dunda na yesu Dunda Dunda mu yesu Ahh dunda Ohh dunda dunda Mmmhh dunda Dunda na yesu Dunda eehh Dumda mu yesu Dunda ehh Dunda na yesu Dunda mu yesu Aahh dunda Ohh dunda dunda
Writer(s): Pst. Emmanuel Ushindi Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out