Music Video
Credits
PERFORMING ARTISTS
Diamond Platnumz
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Diamond Platnumz
Composer
PRODUCTION & ENGINEERING
Salmin Rashid Kassim
Producer
Lyrics
It's Platnumz
(Woo, woiyo ooh woiyo ooh) Zombie
Its S2kizzy beiby
Ati kanyaga ka ana pigo za unafiki
Kanyaga kama mmbeya asiye rafiki
Kanyaga kama fisi ana roho ya usnichi
Hakulishi, hakuvishi kwani vipi?
Kanyaga
Wazee wa shobo kudandia, kanyaga
Klabu kuomba omba bia, kanyaga
Slay queens vibisho vya bandia
Ukivipa hai ati madai vinavimbia
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unanicheza zangu
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Woo, woiyo ooh woiyo ooh
Ooh yeah eeh
Siku hizi watu wanataka money
So mitimu itakukosti, Kanyaga!
Kunitumia mipicha pigo gani?
Ati basi day nikuposti (oh yeah yeah)
Kadi za harusi kuchanga changa, Kanyaga!
Wakati mwenyewe nina majanga, Kanyaga!
Sina godoro sina kitanda
Ati nikuchangie kodi kwenda kupanga (yii)
Kama buti la mugambo, Kanyaga!
Wavuruga mipango, Kanyaga!
Wazee wa Insta michambo
Ati 'baby niunge bando'
Kanyaga!
Uzushi, Kanyaga!
Mashemu feki, Kanyaga!
Nuksi, Kanyaga!
Kudadadeki, Kanyaga!
Mawifi, Kanyaga!
Mpaka ma ex, Kanyaga!
Mikosi, Kanyaga!
Woooya Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Kanyaga! Kanyaga!
Yii, Kanyaga! Kanyaga!
Kama unanicheza zangu
Kanyaga! Kanyaga!
Wale wakuda wadaku
Kanyaga! Kanyaga!
Yeah, kidaku daku
Kanyaga! Kanyaga!
Wajue hizi namba chafu
I say leeeooo
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na habare
Kama wao paka si-mbwa koko
Leeeo
Usiku hatulali, tunakesha kama popo
Leo, leo
Tena wape na habare
Kama wao paka si-mbwa koko
Asa timba, timba timba (timbaaa)
Wanangu timba (timbaaa)
Wao kula kushoto (timbaaa)
Kula kulia (timbaaa)
I say timba, timba timba (timbaaa)
Oyaa wahuni timba (timbaaa)
Kama unazikili (timbaaa)
Mchaka kabisa akili (timbaaa)
Kimya!
Writer(s): Nasibu Abdul Juma Issaack, Salim Karim
Lyrics powered by www.musixmatch.com