Lyrics

Usione nakusumbua, me nakupenda we Yale mapenzi ulionipa, ndo yafanya nakusumbua Naomba nihurumie eeh, unanitesa we Kupenda kwangu ndo kwanifanya Niwe fala bwege kabisa Siwezi kuvumilia aah, utaniua we Penzi lako ni laajabu, duniani sijapata ona Usishangae nalia, waninyanyasa we Kosa langu kosa gani ma, kukupenda sio makosa Lala lala lala laah, lalala lala laah Lalalala lalalala lala, lalalala lala lala lalaah Lala lala lala laah, lalala lala laah Lalalala lalalala lala, lalalala lala lala lalaah Siwezi juta kupenda, kukuoenda we Mwenyezimungu kanionyesha Na wewe ndo malaika wangu Nishike japo mkono, twende pamoja Popote pale utapokwenda Nipo radhi naminakwenda Mimi na-force mapenzi ili unipende we Unasema ninaku-boar, sipendezi kuwa na wewe Nakuletea maua aah, wayachoma moto Wanihukumu bila makosa, tafadhali nifikirie Lala lala lala laah, lalala lala laah Lalalala lalalala lala, lalalala lala lala lalaah Lala lala lala laah, lalala lala laah Lalalala lalalala lala, lalalala lala lala lalaah Sina makosa wanionea bure Unafurahi minalia, unafurahi minalia Sina makosa mwenzako wanionea bure Unafurahi minalia, unafurahi minalia Lala lala lala laah, lalala lala laah Lalalala lalalala lala, lalalala lala lala lalaah Lala lala lala laah, lalala lala laah Lalalala lalalala lala, lalalala lala lala lalaah Pancho Latino
Writer(s): Mario Torosantucci Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out