album cover
Mama
4,869
Afro-Beat
Mama was released on December 19, 2024 by Warner Music Africa as a part of the album Peace And Money
album cover
Release DateDecember 19, 2024
LabelWarner Music Africa
Melodicness
Acousticness
Valence
Danceability
Energy
BPM

Credits

PERFORMING ARTISTS
Zuchu
Zuchu
Vocals
COMPOSITION & LYRICS
Zuhura Othman Soud
Zuhura Othman Soud
Songwriter
PRODUCTION & ENGINEERING
Lizer Classic
Lizer Classic
Producer

Lyrics

[Verse 1]
Rafiki yangu kwenye shida, rafiki yangu kwenye raha
Niko naye kila mida, hajawai nikataa
Yuko raddi mi kushiba, yeye ndo ashinde njaa
Sio mwengine ni mama
[Verse 2]
Labda nikupe picha
Uone nafasi yako manaa
Kikukosa kwenye maishaa
Eeh kiukweli itanichanganya
Eeh
[PreChorus]
Mitihanii
Yake yangu mimii
Nikulipe ninii
Kiasi gani mi sionii, oh mama
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Verse 3]
Eh Mola uliyejaa rehema natanguliza shukrani (Asante)
Bila huyu mama mwema ningekuwa mgeni wa nani (Asante)
Mnaowanjia heshima nye mnaezaje kwani
Mimi wangu akinuna moyo unakosa amani
[PreChorus]
Mitihanii
Yake yangu mimii
Nikulipe ninii
Kiasi gani mi sionii, oh mama
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Chorus]
Mamaa
I love you mamaa
Mamaa
Nakupenda sanaa
[Outro]
Hey mamangu njoo tucheze kandili (Kandili katikatikati katikati)
Cheza kandili (Kandili katikatikati katikati)
Tingiza kiwiliwili (Kandili katikatikati katikati)
Kaka (Kandili kati)
Written by: Zuhura Othman Soud
instagramSharePathic_arrow_out􀆄 copy􀐅􀋲

Loading...