Similar Songs
Credits
PERFORMING ARTISTS
Frank
Performer
COMPOSITION & LYRICS
Frank
Songwriter
Lyrics
Umenilinda na kunihifadhi
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Umenilinda kwa mishale ya kifo
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Umenilinda kwa mikosi yoyote
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Pokea sifa zote na utukufu
Heshima na uweza ni zako Bwana
Haulinganishwi na chochote
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
Gongo lako na fimbo yako
Yanifariji mimi
Ni ju yako Bwana mi naishi
Waandaa meza mbele ya watesi wangu
Ni ju yako Bwana mi naishi
Nipitapo kwenye uvuli wa kifo
Wewe huniachi baba
Ni ju yako Bwana mi naishi
Pokea sifa zote na utukufu
Heshima na uweza ni zako Bwana
Haulinganishwi na chochote
Fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana mi naishi
End
Writer(s): Frank
Lyrics powered by www.musixmatch.com