Lyrics

Mungu alipo muumba adamu Hakumwacha awe pekeyake Akamfanyia msaidizi wakufanana naye Nyama yake katika nyama zake mfupa wake kati mifupa yake Mwanamume ataacha wazazi wake ataambatana na mkewe mwanamke ataacha wazazi wake ataambatana na mumewe Hawa wawili watakuwa mwili mmoja kwani nia moja washirikiane kwa pamoja Mambo haya matetu yawe ngao kwa upendo wenu eeeh hee hee hee Mambo haya matetu yatumike katika ndoa yenu eeh hee hee hee Nakupenda(mpenzi wangu ulivyoumbika)nakupenda(katika viumbe umezidi wote)nakupenda(nimekuchagua uwe wangu)nakupenda(kifo tu kitutenganishe)nisamehe(nikukosea unisamehe)nisamehe(nisamehe nisamehe mpenzi)nisamehe(mimi ni mwanadamu wala c malaika)nisamehe(ninaomba nisamehe mpenzi)asante(kwa kunichagua niwe wako)asante(umetimiza ahadi ya ndoa)asante(nitajitahidi niwe mwaminifu)asante(asante mpenzi wangu)asante Tuzishike sheria za mungu tutapona eeh tutapona eeh Tusikilize wenye hekima tutapona eeh tutapona eeh Kama kujenga watu wawili mimi nawewe tutunze ndoa yetu eeh Tusisikilize walimwengu hawana wema hawana wema hao Tupate kwa neno tulichuje lililo jema liwe letu Mpenzi wangu Nakupenda(mpenzi wangu ulivyoumbika)nakupenda(katika viumbe umezidi wote)nakupenda(nimekuchagua uwe wangu)nakupenda(kifo tu kitutenganishe)nisamehe(nikukosea unisamehe)nisamehe(nisamehe nisamehe mpenzi)nisamehe(mimi ni mwanadamu wala c malaika)nisamehe(ninaomba nisamehe mpenzi)asante(kwa kunichagua niwe wako)asante(umetimiza ahadi ya ndoa)asante(nitajitahidi niwe mwaminifu)asante(asante mpenzi wangu)asante
Writer(s): Christina Shusho Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out