Lyrics

Saidi felaa Aiyaiyaa Tmk for life Jobanjoo Wasakizie mbwa nyama ya sumu Napanda mgongo usiku me nakula, Usipende kuzima taa wakat wa kula, Hakuna mganga wa jiko zaid yako maama, Ukipika wali nazi me nakulaa, (Oooh) kuhusu jikoni hilo usijali, Kwani ushibapo mume me nafurahi, Nnachotaka mapenziiiii, Kwa mwingine siweziiii, Mmmh, Kwa mapenzi usijali kitandani me hatari, Umefundwa kama mwali me kwako sina habari, Hayaaya, Mchana wa jua kali tujifungie chumbani, Kama kuna joto kali tunaja kibarazani, huna kasoro hata kidogo mtoto unaitaaa(eeeeh) Huna kasoro hata kidogo kaka nakuita, Waache waongee, Aye mama usiogopee, Mbona me sina wasi wasi nao, aye mama usiogopee, (Mmmh) waache waongee, Aye baba usiogopee, Kelele za chura kisimani, Aye baba usiogope (Eeenh) (Moyo) moyo moyo wangu moyoo, (Moyo) nna wasi wasi wangu moyoo, Mana wachache wanapenda, Wengi wanaombaa, Mimi nawe tuachane wao ndo wanapenda, Tufanikishe washangaee, Wazinduke nishakua nawe (mimi nawee), Watanuna kua nawe (mimi nawe), Usijali niko nawe, Napanda mgongo usiku me nakula, Usipende kuzima taa wakat wa kula, Hakuna mganga wa jiko zaid yako maama, Ukipika wali nazi me nakulaa(ayaayaa) Huna kasoro hata kidogo mtoto unaita (eeenh), Huna kasoro hata kidogo kaka nakuita, Waache waongee, Aye mama usiogopee, Mbona me sina wasi wasi nao, aye mama usiogopee, (Mmmh) waache waongee, Aye baba usiogopee, Kelele za chura kisimani, Aye baba usiogope, Waache waongee, Aye mama usiogopee, Mbona me sina wasi wasi nao, aye mama usiogopee, (Mmmh) waache waongee, Aye baba usiogopee, Kelele za chura kisimani, Aye baba usiogope (Eeenh) (Moyo) moyo moyo wangu moyoo,(moyoo) (Moyo) nna wasi wasi wangu moyoo, chege chigunda na jobanjoo, (Na jobanjoo) Sasa ni dunga na jobanjoo, (Na jobanjoo) eenh Chege chigunda na jobanjoo, (Na jobanjoo) Sasa ni dunga na jobanjoo, (Na jobanjoo) Eenh, eenh, eenh Hayaayaa Eenh, eenh, eenh Nandiiii Eenh, eenh, eenh Hayaayaah
Writer(s): Saidi Juma Hassani Lyrics powered by www.musixmatch.com
instagramSharePathic_arrow_out